Yona 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kisha Yehova akamtuma samaki mkubwa ammeze Yona, basi Yona akakaa ndani ya tumbo la samaki huyo kwa siku tatu, mchana na usiku.+ Mathayo 12:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Akawajibu: “Kizazi kiovu na chenye uzinzi* kinaendelea kutafuta ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ishara ya nabii Yona.+ Luka 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Umati ulipozidi kuongezeka, akaanza kusema: “Kizazi hiki ni kiovu; kinatafuta ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ishara ya Yona.+
17 Kisha Yehova akamtuma samaki mkubwa ammeze Yona, basi Yona akakaa ndani ya tumbo la samaki huyo kwa siku tatu, mchana na usiku.+
39 Akawajibu: “Kizazi kiovu na chenye uzinzi* kinaendelea kutafuta ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ishara ya nabii Yona.+
29 Umati ulipozidi kuongezeka, akaanza kusema: “Kizazi hiki ni kiovu; kinatafuta ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ishara ya Yona.+