Isaya 45:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Nimemwinua mtu katika uadilifu,+Nami nitazinyoosha njia zake zote. Yeye ndiye atakayelijenga jiji langu+Na kuwaweka huru bila bei au rushwa+ watu wangu waliotekwa,”+ asema Yehova wa majeshi. Zekaria 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Njoo, Ee Sayuni! Kimbia, wewe unayekaa na binti ya Babiloni.+
13 “Nimemwinua mtu katika uadilifu,+Nami nitazinyoosha njia zake zote. Yeye ndiye atakayelijenga jiji langu+Na kuwaweka huru bila bei au rushwa+ watu wangu waliotekwa,”+ asema Yehova wa majeshi.