Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki wakaanza kujenga upya nyumba ya Mungu,+ iliyokuwa Yerusalemu; na manabii wa Mungu walikuwa pamoja nao na waliwatia moyo.+

  • Ezra 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wakamaliza kujenga nyumba hiyo katika siku ya tatu ya mwezi wa Adari,* katika mwaka wa sita wa utawala wa Mfalme Dario.

  • Zekaria 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Basi Yehova anasema hivi: ‘“Nitarudi Yerusalemu kwa rehema,+ na nyumba yangu mwenyewe itajengwa humo,”+ asema Yehova wa majeshi, “na kamba ya kupimia itanyooshwa juu ya Yerusalemu.”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki