Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 5:18-20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Chemchemi yako na ibarikiwe,*

      Na ushangilie pamoja na mke wa ujana wako,+

      19 Paa jike anayependeza, mbuzi wa mlimani* anayevutia.+

      Matiti yake na yakuridhishe* nyakati zote.

      Upendo wake na ukusisimue daima.+

      20 Basi mwanangu, kwa nini usisimuliwe na mwanamke aliyepotoka*

      Au kukikumbatia kifua cha mwanamke mwasherati?*+

  • Mathayo 19:4-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Akawajibu: “Je, hamkusoma kwamba yule aliyewaumba tangu mwanzo aliwaumba mwanamume na mwanamke+ 5 na kusema: ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’?+ 6 Basi wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Kwa hiyo, kile ambacho Mungu ameunganisha mtu yeyote asikitenganishe.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki