Ayubu 21:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini wanamwambia Mungu wa kweli, ‘Tuache! Hatutamani kuzijua njia zako.+ 15 Mweza-Yote ni nani ili tumtumikie?+ Tutapata faida gani tukimfahamu?’+ Zaburi 73:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hakika nimeusafisha moyo wangu bureNa kunawa mikono yangu katika ukosefu wa hatia.+ 14 Nami nilitaabika mchana kutwa;+Niliadhibiwa kila asubuhi.+ Isaya 58:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 ‘Kwa nini huoni, tunapofunga?+ Na kwa nini hutambui tunapojitesa?’*+ Kwa sababu siku mnayofunga mnafuatia mapendezi yenu wenyewe,*Nanyi mnawakandamiza wafanyakazi wenu.+ Sefania 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati huo nitatumia taa kupekua Yerusalemu kwa makini,Nami nitawafanya wasiojali* wawajibike, wanaosema moyoni mwao,‘Yehova hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.’+
14 Lakini wanamwambia Mungu wa kweli, ‘Tuache! Hatutamani kuzijua njia zako.+ 15 Mweza-Yote ni nani ili tumtumikie?+ Tutapata faida gani tukimfahamu?’+
13 Kwa hakika nimeusafisha moyo wangu bureNa kunawa mikono yangu katika ukosefu wa hatia.+ 14 Nami nilitaabika mchana kutwa;+Niliadhibiwa kila asubuhi.+
3 ‘Kwa nini huoni, tunapofunga?+ Na kwa nini hutambui tunapojitesa?’*+ Kwa sababu siku mnayofunga mnafuatia mapendezi yenu wenyewe,*Nanyi mnawakandamiza wafanyakazi wenu.+
12 Wakati huo nitatumia taa kupekua Yerusalemu kwa makini,Nami nitawafanya wasiojali* wawajibike, wanaosema moyoni mwao,‘Yehova hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.’+