Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 21:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini wanamwambia Mungu wa kweli, ‘Tuache!

      Hatutamani kuzijua njia zako.+

      15 Mweza-Yote ni nani ili tumtumikie?+

      Tutapata faida gani tukimfahamu?’+

  • Zaburi 73:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hakika nimeusafisha moyo wangu bure

      Na kunawa mikono yangu katika ukosefu wa hatia.+

      14 Nami nilitaabika mchana kutwa;+

      Niliadhibiwa kila asubuhi.+

  • Isaya 58:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 ‘Kwa nini huoni, tunapofunga?+

      Na kwa nini hutambui tunapojitesa?’*+

      Kwa sababu siku mnayofunga mnafuatia mapendezi yenu wenyewe,*

      Nanyi mnawakandamiza wafanyakazi wenu.+

  • Sefania 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati huo nitatumia taa kupekua Yerusalemu kwa makini,

      Nami nitawafanya wasiojali* wawajibike, wanaosema moyoni mwao,

      ‘Yehova hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki