Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 12 Kisha Yesu akawaambia tena: “Mimi ndiye nuru ya ulimwengu.+ Yeyote anayenifuata hatatembea kamwe gizani, bali atakuwa na nuru+ ya uzima.”

  • Yohana 12:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Wakati mna nuru, iweni na imani* katika nuru ili muwe wana wa nuru.”+

      Yesu alisema mambo hayo, kisha akaenda kujificha mbali nao.

  • Wafilipi 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 ili mje kuwa bila lawama wala hatia, watoto wa Mungu+ wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki