Yohana 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 12 Kisha Yesu akawaambia tena: “Mimi ndiye nuru ya ulimwengu.+ Yeyote anayenifuata hatatembea kamwe gizani, bali atakuwa na nuru+ ya uzima.” Yohana 12:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Wakati mna nuru, iweni na imani* katika nuru ili muwe wana wa nuru.”+ Yesu alisema mambo hayo, kisha akaenda kujificha mbali nao. Wafilipi 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 ili mje kuwa bila lawama wala hatia, watoto wa Mungu+ wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+
8 12 Kisha Yesu akawaambia tena: “Mimi ndiye nuru ya ulimwengu.+ Yeyote anayenifuata hatatembea kamwe gizani, bali atakuwa na nuru+ ya uzima.”
36 Wakati mna nuru, iweni na imani* katika nuru ili muwe wana wa nuru.”+ Yesu alisema mambo hayo, kisha akaenda kujificha mbali nao.
15 ili mje kuwa bila lawama wala hatia, watoto wa Mungu+ wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+