16 “Mnapofunga,+ msiwe na nyuso zenye huzuni kama wanafiki, kwa maana wao hukunja nyuso zao* ili watu waone kwamba wanafunga.+ Kwa kweli ninawaambia, wanapata thawabu yao kikamili.
5 Kazi zote wanazofanya, wanazifanya ili waonwe na watu,+ kwa maana wanapanua visanduku vyenye maandiko wanavyovaa kama ulinzi,*+ na kurefusha pindo zenye nyuzi za mavazi yao.+