Hosea 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+ Mika 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitakuja mbele za Yehova nikiwa na nini? Nitainama mbele za Mungu aliye juu nikiwa na nini? Je, nitakuja mbele zake nikiwa na dhabihu nzima za kuteketezwa,Nikiwa na ndama wenye umri wa mwaka mmoja?+ Mika 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee mwanadamu, amekuambia yaliyo mema. Na Yehova anataka* nini kutoka kwako? Anataka tu utekeleze haki,*+ uthamini sana ushikamanifu,*+Na utembee kwa kiasi+ na Mungu wako!+ Mathayo 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nendeni, basi, mkajifunze maana ya maneno haya: ‘Ninataka rehema, si dhabihu.’+ Kwa maana sikuja kuwaita waadilifu, bali watenda dhambi.”
6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+
6 Nitakuja mbele za Yehova nikiwa na nini? Nitainama mbele za Mungu aliye juu nikiwa na nini? Je, nitakuja mbele zake nikiwa na dhabihu nzima za kuteketezwa,Nikiwa na ndama wenye umri wa mwaka mmoja?+
8 Ee mwanadamu, amekuambia yaliyo mema. Na Yehova anataka* nini kutoka kwako? Anataka tu utekeleze haki,*+ uthamini sana ushikamanifu,*+Na utembee kwa kiasi+ na Mungu wako!+
13 Nendeni, basi, mkajifunze maana ya maneno haya: ‘Ninataka rehema, si dhabihu.’+ Kwa maana sikuja kuwaita waadilifu, bali watenda dhambi.”