Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,

      Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+

  • Mika 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nitakuja mbele za Yehova nikiwa na nini?

      Nitainama mbele za Mungu aliye juu nikiwa na nini?

      Je, nitakuja mbele zake nikiwa na dhabihu nzima za kuteketezwa,

      Nikiwa na ndama wenye umri wa mwaka mmoja?+

  • Mika 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ee mwanadamu, amekuambia yaliyo mema.

      Na Yehova anataka* nini kutoka kwako?

      Anataka tu utekeleze haki,*+ uthamini sana ushikamanifu,*+

      Na utembee kwa kiasi+ na Mungu wako!+

  • Mathayo 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nendeni, basi, mkajifunze maana ya maneno haya: ‘Ninataka rehema, si dhabihu.’+ Kwa maana sikuja kuwaita waadilifu, bali watenda dhambi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki