Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akapewa utawala,+ heshima,+ na ufalme, ili watu wa makabila, mataifa, na lugha zote wamtumikie.+ Utawala wake ni utawala wa milele ambao hautapitilia mbali, na ufalme wake hautaangamizwa.+

  • Mathayo 20:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yesu akamuuliza: “Unataka nini?” Akamjibu: “Toa agizo kwamba hawa wanangu wawili waketi mmoja upande wako wa kuume na mwingine upande wako wa kushoto, katika Ufalme wako.”+

  • Luka 22:28-30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Hata hivyo, ninyi ndio mmeshikamana nami+ katika majaribu yangu;+ 29 nami ninafanya agano pamoja nanyi, kama Baba yangu alivyofanya agano pamoja nami, kwa ajili ya ufalme,+ 30 ili mle na kunywa mezani pangu katika Ufalme wangu,+ na kuketi kwenye viti vya ufalme+ ili kuyahukumu makabila 12 ya Israeli.+

  • 1 Wakorintho 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Au je, hamjui kwamba watakatifu watauhukumu ulimwengu?+ Na ikiwa ninyi mtauhukumu ulimwengu, je, hamna uwezo wa kuamua mambo madogo sana?

  • Ufunuo 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nikaona viti vya ufalme, na wale walioketi kwenye viti hivyo wakapewa mamlaka ya kuhukumu. Ndiyo, niliona nafsi* za wale waliouawa* kwa sababu ya ushahidi waliotoa kumhusu Yesu na kwa sababu ya kusema kumhusu Mungu, na wale ambao hawakumwabudu yule mnyama wa mwituni au sanamu yake na ambao hawakupokea ile alama kwenye paji la uso wao na kwenye mkono wao.+ Nao wakawa hai na kutawala wakiwa wafalme pamoja na Kristo+ kwa miaka 1,000.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki