Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini ilipofika jioni, watu walimletea watu wengi wenye roho waovu; akawafukuza hao roho kwa kusema neno moja, naye akawaponya wote waliokuwa wakiteseka,

  • Luka 4:40, 41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Jua lilipokuwa likitua, wote waliokuwa na watu wenye magonjwa mbalimbali wakawaleta kwake. Akawaponya kwa kuweka mikono yake juu ya kila mgonjwa.+ 41 Roho waovu pia wakawatoka watu wengi, wakipaza sauti na kusema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+ Lakini aliwakemea na hakuwaruhusu waseme,+ kwa maana walijua yeye ni Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki