-
Mathayo 8:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Lakini ilipofika jioni, watu walimletea watu wengi wenye roho waovu; akawafukuza hao roho kwa kusema neno moja, naye akawaponya wote waliokuwa wakiteseka,
-
-
Luka 4:40, 41Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
40 Jua lilipokuwa likitua, wote waliokuwa na watu wenye magonjwa mbalimbali wakawaleta kwake. Akawaponya kwa kuweka mikono yake juu ya kila mgonjwa.+ 41 Roho waovu pia wakawatoka watu wengi, wakipaza sauti na kusema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+ Lakini aliwakemea na hakuwaruhusu waseme,+ kwa maana walijua yeye ni Kristo.+
-