2 Na tazama! wakamletea mtu aliyepooza, akiwa amelala kwenye kitanda.* Alipoona imani yao, Yesu akamwambia yule mtu aliyepooza: “Jipe moyo mwanangu! Umesamehewa dhambi zako.”+
47 Kwa hiyo, ninakuambia ingawa dhambi zake ni nyingi,* amesamehewa,+ kwa sababu amependa sana. Lakini anayesamehewa kidogo, hupenda kidogo.” 48 Ndipo akamwambia mwanamke huyo: “Umesamehewa dhambi zako.”+