Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa sababu ya mateso* yake, ataona na kuridhika.

      Kupitia ujuzi wake, yule mwadilifu, mtumishi wangu,+

      Atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu,+

      Na dhambi zao atazibeba.+

  • Mathayo 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na tazama! wakamletea mtu aliyepooza, akiwa amelala kwenye kitanda.* Alipoona imani yao, Yesu akamwambia yule mtu aliyepooza: “Jipe moyo mwanangu! Umesamehewa dhambi zako.”+

  • Luka 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Alipoona imani yao, akamwambia yule mtu: “Ewe mtu, umesamehewa dhambi zako.”+

  • Luka 7:47, 48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Kwa hiyo, ninakuambia ingawa dhambi zake ni nyingi,* amesamehewa,+ kwa sababu amependa sana. Lakini anayesamehewa kidogo, hupenda kidogo.” 48 Ndipo akamwambia mwanamke huyo: “Umesamehewa dhambi zako.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki