Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 32:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mwenye furaha ni mtu ambaye amesamehewa kosa lake, ambaye dhambi yake imefunikwa.*+

  • Zaburi 51:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Ee Mungu, nionyeshe kibali kulingana na upendo wako mshikamanifu.+

      Yafute kabisa makosa yangu kulingana na rehema zako nyingi.+

  • Zaburi 103:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nafsi yangu na imsifu Yehova;

      Nami nisisahau kamwe mambo yote aliyotenda.+

       3 Husamehe makosa yako yote+

      Na kuyaponya magonjwa yako yote;+

  • Isaya 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Sasa, njooni, na tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+

      “Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu,

      Zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+

      Ingawa ni nyekundu kama kitambaa chekundu,

      Zitakuwa kama sufu.

  • Isaya 43:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mimi, mimi ndiye ninayeyafuta kabisa makosa*+ yako kwa ajili yangu,+

      Nami sitazikumbuka dhambi zako.+

  • Isaya 44:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nitayafuta kabisa makosa yako kama kwa wingu+

      Na dhambi zako kama kwa wingu zito.

      Rudi kwangu, kwa maana nitakukomboa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki