Mathayo 24:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Kwa hiyo, endeleeni kukesha kwa sababu hamjui Bwana wenu atakuja siku gani.+ Waefeso 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na kwa kila namna ya sala+ na dua mkiendelea kusali kila wakati katika roho.+ Na hivyo kaeni macho, daima mkiomba dua kwa ajili ya watakatifu wote. 2 Petro 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa mmepata ujuzi huu mapema, jilindeni ili msipotoshwe pamoja nao kwa kosa la waasi sheria, na kuanguka kutoka kwenye msimamo wenu imara.*+
18 na kwa kila namna ya sala+ na dua mkiendelea kusali kila wakati katika roho.+ Na hivyo kaeni macho, daima mkiomba dua kwa ajili ya watakatifu wote.
17 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa mmepata ujuzi huu mapema, jilindeni ili msipotoshwe pamoja nao kwa kosa la waasi sheria, na kuanguka kutoka kwenye msimamo wenu imara.*+