Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 4:1-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo Yesu akaongozwa na roho kuingia nyikani ili akajaribiwe+ na Ibilisi.+ 2 Baada ya kufunga kwa siku 40, mchana na usiku, akahisi njaa. 3 Naye Mjaribu+ akaja na kumwambia: “Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, yaambie mawe haya yawe mikate.” 4 Lakini akajibu: “Imeandikwa: ‘Mwanadamu hataishi kwa mkate tu, bali kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.’”*+

  • Marko 1:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mara moja roho ikamchochea kuingia nyikani. 13 Basi akakaa nyikani kwa siku 40, akijaribiwa na Shetani.+ Aliishi kati ya wanyama wa mwituni, lakini malaika walikuwa wakimhudumia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki