Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 9:10-13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Baadaye alipokuwa akila* katika nyumba, tazama! wakusanya kodi wengi na watenda dhambi wakaja na kuanza kula* pamoja na Yesu na wanafunzi wake.+ 11 Lakini Mafarisayo walipoona hivyo wakawauliza wanafunzi wake: “Kwa nini mwalimu wenu anakula pamoja na wakusanya kodi na watenda dhambi?”+ 12 Yesu alipowasikia, akasema: “Watu wenye afya hawahitaji daktari, lakini wagonjwa wanamhitaji.+ 13 Nendeni, basi, mkajifunze maana ya maneno haya: ‘Ninataka rehema, si dhabihu.’+ Kwa maana sikuja kuwaita waadilifu, bali watenda dhambi.”

  • Marko 2:15-17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baadaye alipokuwa akila* katika nyumba ya Lawi, wakusanya kodi wengi na watenda dhambi walikuwa wakila* pamoja na Yesu na wanafunzi wake, kwa maana wengi wao walikuwa wakimfuata.+ 16 Lakini waandishi wa Mafarisayo, walipoona akila na watenda dhambi na wakusanya kodi, wakaanza kuwauliza wanafunzi wake: “Je, yeye hula pamoja na wakusanya kodi na watenda dhambi?” 17 Aliposikia hilo, Yesu akawaambia: “Watu wenye nguvu hawahitaji daktari, lakini wagonjwa wanamhitaji. Sikuja kuwaita waadilifu, bali watenda dhambi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki