Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 2:15-17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baadaye alipokuwa akila* katika nyumba ya Lawi, wakusanya kodi wengi na watenda dhambi walikuwa wakila* pamoja na Yesu na wanafunzi wake, kwa maana wengi wao walikuwa wakimfuata.+ 16 Lakini waandishi wa Mafarisayo, walipoona akila na watenda dhambi na wakusanya kodi, wakaanza kuwauliza wanafunzi wake: “Je, yeye hula pamoja na wakusanya kodi na watenda dhambi?” 17 Aliposikia hilo, Yesu akawaambia: “Watu wenye nguvu hawahitaji daktari, lakini wagonjwa wanamhitaji. Sikuja kuwaita waadilifu, bali watenda dhambi.”+

  • Luka 5:29-32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kisha Lawi akamwandalia Yesu karamu kubwa nyumbani kwake, na kulikuwa na umati mkubwa wa wakusanya kodi na wengine waliokuwa wakila* pamoja nao.+ 30 Ndipo Mafarisayo na waandishi wao wakaanza kuwalalamikia wanafunzi wake, wakisema: “Kwa nini mnakula na kunywa pamoja na wakusanya kodi na watenda dhambi?”+ 31 Yesu akawajibu: “Watu wenye afya hawahitaji daktari, lakini wagonjwa wanamhitaji.+ 32 Sikuja kuwaita waadilifu, bali kuwahimiza watenda dhambi watubu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki