-
Luka 5:29, 30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 Kisha Lawi akamwandalia Yesu karamu kubwa nyumbani kwake, na kulikuwa na umati mkubwa wa wakusanya kodi na wengine waliokuwa wakila* pamoja nao.+ 30 Ndipo Mafarisayo na waandishi wao wakaanza kuwalalamikia wanafunzi wake, wakisema: “Kwa nini mnakula na kunywa pamoja na wakusanya kodi na watenda dhambi?”+
-