14 Lakini ofisa msimamizi wa sinagogi akakasirika kwa sababu Yesu aliponya siku ya Sabato, akauambia umati: “Kuna siku sita za kufanya kazi;+ basi, njooni mponywe katika siku hizo, bali si siku ya Sabato.”+
16 Kisha baadhi ya Mafarisayo wakaanza kusema: “Mtu huyo hatoki kwa Mungu, kwa sababu hashiki Sabato.”+ Wengine wakasema: “Mtenda dhambi anawezaje kufanya ishara kama hizo?”+ Basi kukawa na mgawanyiko kati yao.+