Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha Yehova Mungu akamuumba mtu kutokana na mavumbi+ ya ardhi na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ na mtu huyo akawa mtu aliye hai.*+

  • Mhubiri 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 kwa maana kuna mwisho wa* wanadamu na mwisho wa wanyama; wote wana mwisho uleule.+ Anavyokufa huyu, ndivyo anavyokufa huyu; na wote wana roho ileile.+ Kwa hiyo mwanadamu si bora kuliko wanyama, kwa maana kila kitu ni ubatili.

  • Isaya 42:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Hivi ndivyo anavyosema Mungu wa kweli, Yehova,

      Muumba wa mbingu na Mkuu aliyezitandaza,+

      Yule aliyeitandaza dunia na mazao yake,+

      Yule anayewapa pumzi watu waliomo+

      Na kuwapa roho wale wanaotembea humo:+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki