Waroma 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Shangilieni katika tumaini. Vumilieni chini ya dhiki.+ Dumuni katika sala.+ Waefeso 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na kwa kila namna ya sala+ na dua mkiendelea kusali kila wakati katika roho.+ Na hivyo kaeni macho, daima mkiomba dua kwa ajili ya watakatifu wote. Wafilipi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Msihangaike kuhusiana na jambo lolote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua pamoja na kutoa shukrani, mjulisheni Mungu maombi yenu;+ Wakolosai 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Dumuni katika sala,+ mkikaa macho katika sala pamoja na kutoa shukrani.+ 1 Wathesalonike 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Salini bila kuacha.+
18 na kwa kila namna ya sala+ na dua mkiendelea kusali kila wakati katika roho.+ Na hivyo kaeni macho, daima mkiomba dua kwa ajili ya watakatifu wote.
6 Msihangaike kuhusiana na jambo lolote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua pamoja na kutoa shukrani, mjulisheni Mungu maombi yenu;+