Isaya 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mbwamwitu atakaa pamoja na mwanakondoo kwa muda fulani,+Na chui atalala pamoja na mwanambuzi,Na ndama na simba* na mnyama aliyenoneshwa wote watakuwa pamoja;*+Na mvulana mdogo atawaongoza. Isaya 35:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nyika na nchi iliyokauka zitafurahi,+Na jangwa tambarare litashangilia na kuchanua maua kama zafarani.+ Isaya 65:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana, tazama! ninaumba mbingu mpya na dunia mpya;+Na mambo ya zamani hayataingia tena akilini,*Wala hayataingia tena moyoni.+ Matendo 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami nina tumaini kwa Mungu, tumaini ambalo watu hawa pia wanatazamia, kwamba kutakuwa na ufufuo+ wa waadilifu na wasio waadilifu pia.+ Ufunuo 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nami nikaona mbingu mpya na dunia mpya;+ kwa maana mbingu ya kwanza na dunia ya kwanza zilikuwa zimepitilia mbali,+ na bahari+ haipo tena.
6 Mbwamwitu atakaa pamoja na mwanakondoo kwa muda fulani,+Na chui atalala pamoja na mwanambuzi,Na ndama na simba* na mnyama aliyenoneshwa wote watakuwa pamoja;*+Na mvulana mdogo atawaongoza.
35 Nyika na nchi iliyokauka zitafurahi,+Na jangwa tambarare litashangilia na kuchanua maua kama zafarani.+
17 Kwa maana, tazama! ninaumba mbingu mpya na dunia mpya;+Na mambo ya zamani hayataingia tena akilini,*Wala hayataingia tena moyoni.+
15 Nami nina tumaini kwa Mungu, tumaini ambalo watu hawa pia wanatazamia, kwamba kutakuwa na ufufuo+ wa waadilifu na wasio waadilifu pia.+
21 Nami nikaona mbingu mpya na dunia mpya;+ kwa maana mbingu ya kwanza na dunia ya kwanza zilikuwa zimepitilia mbali,+ na bahari+ haipo tena.