Zaburi 119:99 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 99 Nina ufahamu mwingi kuliko walimu wangu wote,+Kwa sababu ninavitafakari* vikumbusho vyako. Mathayo 7:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati ukashangazwa na njia yake ya kufundisha,+ Marko 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao wakashangazwa na njia yake ya kufundisha, kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka, si kama waandishi.+ Yohana 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wayahudi wakashangaa na kuulizana: “Mtu huyu alipataje ujuzi wa Maandiko,*+ ingawa hajafundishwa shuleni?”*+
22 Nao wakashangazwa na njia yake ya kufundisha, kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka, si kama waandishi.+
15 Wayahudi wakashangaa na kuulizana: “Mtu huyu alipataje ujuzi wa Maandiko,*+ ingawa hajafundishwa shuleni?”*+