Mathayo 26:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ndipo Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika kuhusiana nami usiku wa leo, kwa maana imeandikwa: ‘Nitampiga mchungaji, nao kondoo wa kundi watatawanyika.’+ Marko 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika, kwa maana imeandikwa: ‘Nitampiga mchungaji,+ nao kondoo watatawanyika.’+ Yohana 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mimi ndiye mchungaji mwema;+ mchungaji mwema huutoa uhai wake* kwa ajili ya kondoo.+
31 Ndipo Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika kuhusiana nami usiku wa leo, kwa maana imeandikwa: ‘Nitampiga mchungaji, nao kondoo wa kundi watatawanyika.’+
27 Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika, kwa maana imeandikwa: ‘Nitampiga mchungaji,+ nao kondoo watatawanyika.’+