Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 26:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Wafu wako wataishi.

      Maiti zangu zitaamka.*+

      Amkeni na mpige vigelegele kwa shangwe,

      Enyi mnaokaa mavumbini!+

      Kwa maana umande wako ni kama umande wa asubuhi,*

      Na dunia itawaacha wale waliokufa ambao hawana uwezo wawe hai tena.*

  • Yohana 5:28, 29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Msishangazwe na jambo hili, kwa maana saa inakuja ambayo wote walio katika makaburi ya ukumbusho wataisikia sauti yake+ 29 na kutoka, wale waliotenda mema kwenye ufufuo wa uzima, na wale waliozoea kutenda maovu kwenye ufufuo wa hukumu.+

  • Matendo 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nami nina tumaini kwa Mungu, tumaini ambalo watu hawa pia wanatazamia, kwamba kutakuwa na ufufuo+ wa waadilifu na wasio waadilifu pia.+

  • Waebrania 11:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Wanawake waliwapokea wafu wao kupitia ufufuo,+ lakini watu wengine waliteswa kwa sababu hawakukubali kuachiliwa kupitia fidia fulani, ili waupate ufufuo ulio bora.

  • Ufunuo 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wakiwa wamesimama mbele ya kile kiti cha ufalme, na vitabu vya kukunjwa vikafunguliwa. Lakini kitabu kingine cha kukunjwa kikafunguliwa; hicho ni kitabu cha uzima.+ Wafu wakahukumiwa kutokana na yale mambo yaliyoandikwa katika vile vitabu kulingana na matendo yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki