Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 20:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Tazama! Tunapanda kwenda Yerusalemu, na Mwana wa binadamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa makuhani na waandishi. Nao watamhukumia kifo+ 19 na kumtia mikononi mwa watu wa mataifa ili wamdhihaki, wampige mijeledi, na kumuua kwenye mti;+ na siku ya tatu atafufuliwa.”+

  • Yohana 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kama vile Musa alivyoinua nyoka nyikani,+ ndivyo Mwana wa binadamu atakavyoinuliwa,+

  • Yohana 12:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na bado mimi, nikiinuliwa kutoka duniani,+ nitawavuta watu wa namna zote kwangu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki