Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 34:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yoshua mwana wa Nuni alikuwa amejaa roho ya hekima, kwa kuwa Musa alikuwa ameweka mkono wake juu yake;+ na Waisraeli wakaanza kumsikiliza, nao wakafanya kama Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+

  • Matendo 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mitume huko Yerusalemu waliposikia kwamba Samaria imelikubali neno la Mungu,+ wakawatuma Petro na Yohana kwao;

  • Matendo 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo wakaweka mikono juu yao,+ nao wakaanza kupokea roho takatifu.

  • Matendo 13:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Walipokuwa wakimhudumia* Yehova* na kufunga, roho takatifu ikasema: “Wawekeni kando kwa ajili yangu Barnaba na Sauli+ kwa kazi ambayo nimewaitia.”+ 3 Baada ya kufunga na kusali, wakaweka mikono juu yao, na kuwaacha waende.

  • 1 Timotheo 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Usipuuze zawadi uliyo nayo uliyopokea kupitia unabii, baraza la wazee lilipoweka mikono juu yako.+

  • 1 Timotheo 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Usiharakishe kamwe kuweka mikono yako juu ya* mwanamume yeyote;+ wala usishiriki dhambi za wengine; endelea kuwa safi.

  • 2 Timotheo 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa sababu hii ninakukumbusha uichochee kama moto zawadi ya Mungu iliyo ndani yako uliyopokea nilipoweka mikono yangu juu yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki