Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 6:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wanafunzi wote wakakubaliana na jambo walilosema, nao wakamchagua Stefano, mwanamume aliyejaa imani na roho takatifu, vilevile Filipo,+ Prokoro, Nikanori, Timoni, Parmena, na Nikolao, mgeuzwa-imani wa Antiokia. 6 Wakawaleta kwa mitume, na baada ya kusali, wakaweka mikono juu yao.+

  • Matendo 14:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Isitoshe, wakawaweka rasmi wazee kwa ajili yao katika kila kutaniko,+ wakatoa sala na kufunga,+ nao wakawakabidhi kwa Yehova* ambaye walikuwa wamemwamini.

  • 1 Timotheo 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwangalizi anapaswa kuwa mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi katika mazoea, mwenye utimamu wa akili,*+ mwenye utaratibu, mkaribishaji wageni,*+ mwenye uwezo wa kufundisha,+

  • 1 Timotheo 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 si mtu aliyegeuka hivi karibuni,+ ili asije akawa na kiburi na kuanguka katika hukumu aliyohukumiwa Ibilisi.

  • 1 Timotheo 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Usipuuze zawadi uliyo nayo uliyopokea kupitia unabii, baraza la wazee lilipoweka mikono juu yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki