Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 2:28, 29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa kuwa yeye si Myahudi aliye hivyo kwa nje,+ wala kutahiriwa si kitu kilicho nje, juu ya mwili.+ 29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa ya mtu huyo hutoka kwa Mungu, si kwa wanadamu.+

  • 1 Wakorintho 7:18-20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Je, mtu yeyote aliitwa akiwa tayari ametahiriwa?+ Basi asibadili kutahiriwa kwake. Je, mtu yeyote ameitwa akiwa hajatahiriwa? Basi asitahiriwe.+ 19 Kutahiriwa hakuna maana, wala kutotahiriwa hakuna maana;+ lakini kushika amri za Mungu kuna maana.+ 20 Basi katika hali yoyote ambayo kila mmoja aliitwa, acheni abaki hivyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki