-
Matendo 26:9-11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Mimi niliamini kwamba ninapaswa kufanya matendo mengi ili kulipinga jina la Yesu Mnazareti. 10 Hivyo ndivyo nilivyofanya huko Yerusalemu, niliwafunga gerezani watakatifu wengi,+ kwa maana nilikuwa nimepewa mamlaka na wakuu wa makuhani;+ na walipopaswa kuuawa, nilipiga kura yangu dhidi yao. 11 Niliwaadhibu mara nyingi katika masinagogi yote, nikijaribu kuwalazimisha wakane imani yao; na kwa sababu nilikuwa nimewakasirikia sana, nilifikia hatua ya kuwatesa hata katika majiji yaliyo mbali.
-