Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo Sauli akaanza kulishambulia kutaniko. Alikuwa akivamia nyumba moja baada ya nyingine, akiwakokota nje wanaume na wanawake na kuwatupa gerezani.+

  • Matendo 9:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini Sauli aliendelea kuwatisha wanafunzi wa Bwana akitaka kuwaua,+ basi akamwendea kuhani mkuu 2 na kumwomba barua za kwenda kwenye masinagogi huko Damasko, ili awakamate wanaume na wanawake walioifuata Ile Njia,+ na kuwaleta Yerusalemu wakiwa wamefungwa.

  • Matendo 26:9-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mimi niliamini kwamba ninapaswa kufanya matendo mengi ili kulipinga jina la Yesu Mnazareti. 10 Hivyo ndivyo nilivyofanya huko Yerusalemu, niliwafunga gerezani watakatifu wengi,+ kwa maana nilikuwa nimepewa mamlaka na wakuu wa makuhani;+ na walipopaswa kuuawa, nilipiga kura yangu dhidi yao. 11 Niliwaadhibu mara nyingi katika masinagogi yote, nikijaribu kuwalazimisha wakane imani yao; na kwa sababu nilikuwa nimewakasirikia sana, nilifikia hatua ya kuwatesa hata katika majiji yaliyo mbali.

  • 1 Timotheo 1:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ninamshukuru Kristo Yesu Bwana wetu, aliyenitia nguvu, kwa sababu aliniona kuwa mwaminifu kwa kunipa huduma,+ 13 ingawa zamani nilikuwa mkufuru na mtesaji na mtu mwenye dharau.+ Hata hivyo, nilionyeshwa rehema, kwa sababu nilitenda bila ujuzi na sikuwa na imani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki