Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 5:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yesu akamwambia: “Simama! Chukua mkeka wako,* utembee.”+ 9 Mtu huyo akapona mara moja, akabeba mkeka wake* na kuanza kutembea.

      Hiyo ilikuwa siku ya Sabato.

  • Matendo 9:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Petro akamwambia: “Ainea, Yesu Kristo anakuponya.+ Simama, utandike kitanda chako.”+ Naye akasimama mara moja.

  • Matendo 14:8-10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Huko Listra, kulikuwa na mwanamume aliyekuwa ameketi akiwa amelemaa miguu. Alikuwa kiwete tangu kuzaliwa na hakuwa ametembea kamwe. 9 Mtu huyo alikuwa akimsikiliza Paulo alipokuwa akizungumza. Paulo alipomtazama kwa makini na kuona kwamba ana imani ya kuponywa,+ 10 akasema kwa sauti kubwa: “Simama kwa miguu yako.” Ndipo yule mwanamume akaruka na kuanza kutembea.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki