Yohana 8:31, 32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi Yesu akawaambia Wayahudi waliokuwa wamemwamini: “Mkikaa katika neno langu, ninyi kwa kweli ni wanafunzi wangu, 32 nanyi mtaijua kweli,+ nayo kweli itawaweka ninyi huru.”+ 1 Wakorintho 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana kama vile katika Adamu wote wanakufa,+ vivyo hivyo pia katika Kristo wote watafanywa kuwa hai.+
31 Basi Yesu akawaambia Wayahudi waliokuwa wamemwamini: “Mkikaa katika neno langu, ninyi kwa kweli ni wanafunzi wangu, 32 nanyi mtaijua kweli,+ nayo kweli itawaweka ninyi huru.”+
22 Kwa maana kama vile katika Adamu wote wanakufa,+ vivyo hivyo pia katika Kristo wote watafanywa kuwa hai.+