17 Kwa maana ikiwa kwa kosa la mtu mmoja kifo kilitawala kama mfalme kupitia mtu huyo,+ wale wanaopokea wingi wa fadhili zisizostahiliwa na zawadi ya bure ya uadilifu+ watatawala hata zaidi wakiwa wafalme+ katika uzima kupitia mtu mmoja, Yesu Kristo!+