-
Waroma 5:3-5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Si hilo tu, bali na tushangilie* tukiwa katika dhiki,+ kwa kuwa tunajua kwamba dhiki hutokeza uvumilivu;+ 4 nao uvumilivu, hali yenye kukubaliwa;+ nayo hali yenye kukubaliwa, tumaini,+ 5 nalo tumaini halikatishi tamaa;+ kwa sababu upendo wa Mungu umemiminwa ndani ya mioyo yetu kupitia roho takatifu, ambayo tulipewa.+
-