Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waefeso 1:9-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 kwa kutujulisha siri takatifu+ ya mapenzi yake. Ni kulingana na mapenzi yake mema aliyokusudia mwenyewe 10 kwa ajili ya usimamizi* kwenye nyakati kamili zilizowekwa, kukusanya pamoja vitu vyote katika Kristo, vitu vilivyo mbinguni na vitu vilivyo duniani.+ Ndiyo, katika yeye 11 ambaye tuko katika muungano naye na tulihesabiwa kuwa warithi,+ kwa kuwa tuliagizwa awali kulingana na kusudi la yule anayetimiza mambo yote kama anavyoamua kulingana na mapenzi yake,

  • 2 Timotheo 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yeye alituokoa na kutuita kwa mwito mtakatifu,+ si kwa sababu ya matendo yetu, bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na fadhili zisizostahiliwa.+ Tulipewa fadhili hizo kuhusiana na Kristo Yesu kabla ya nyakati za kale,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki