2 “Nimewaonyesha ninyi watu upendo,”+ asema Yehova.
Lakini mnauliza: “Umetuonyeshaje upendo?”
“Je, Esau hakuwa ndugu ya Yakobo?”+ asema Yehova. “Lakini nilimpenda Yakobo, 3 nami nikamchukia Esau;+ nikafanya milima yake kuwa ukiwa+ na urithi wake nikawaachia mbwamwitu wa nyikani.”+