Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Atakuwa kama mahali patakatifu,

      Lakini kama jiwe la kujigonga juu yake

      Na kama mwamba wa kujikwaa juu yake+

      Kwa nyumba zote mbili za Israeli,

      Kama mtego na kama kitu kinachonasa

      Kwa wakaaji wa Yerusalemu.

  • Luka 20:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini akawatazama moja kwa moja na kusema: “Basi, andiko hili linamaanisha nini: ‘Jiwe ambalo wajenzi walilikataa, limekuwa jiwe kuu la pembeni’?*+ 18 Kila mtu anayeanguka kwenye jiwe hilo atavunjika vipandevipande.+ Na litamponda yeyote litakayemwangukia.”

  • 1 Wakorintho 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyeuawa kwenye mti, kwa Wayahudi ni sababu ya kujikwaa lakini kwa mataifa ni upumbavu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki