-
Zaburi 14:1-3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Mpumbavu* husema moyoni mwake:
“Hakuna Yehova.”+
Matendo yao yamepotoka, na shughuli zao zinachukiza;
Hakuna yeyote anayetenda mema.+
2 Lakini Yehova anawatazama wanadamu kutoka mbinguni
Ili aone ikiwa kuna yeyote aliye na ufahamu, ikiwa kuna yeyote anayemtafuta Yehova.+
Hakuna yeyote anayetenda mema,
Hakuna hata mmoja.
-