-
Mathayo 18:15-17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 “Zaidi ya hayo, ndugu yako akitenda dhambi, nenda ufunue kosa lake* kati yako na yeye peke yenu.+ Akikusikiliza, umempata ndugu yako.+ 16 Lakini asipokusikiliza, nenda pamoja na mtu mmoja au wawili, ili kwa ushahidi wa* mashahidi wawili au watatu kila jambo lithibitishwe.+ 17 Asipowasikiliza hao, liambie kutaniko. Asipolisikiliza kutaniko pia, na awe kwako kama mtu wa mataifa+ na kama mkusanya kodi.+
-