16 Kwa maana ninachukia* talaka,”+ asema Yehova Mungu wa Israeli, “na pia yule anayefunika vazi lake kwa ukatili,”* asema Yehova wa majeshi. “Nanyi jilindeni wenyewe kuhusiana na roho yenu, na hampaswi kutenda kwa hila.+
33 Hata hivyo, kila mtu kati yenu anapaswa kumpenda mke wake+ kama anavyojipenda mwenyewe; kwa upande mwingine, mke anapaswa kumheshimu sana mume wake.+