Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Malaki 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana ninachukia* talaka,”+ asema Yehova Mungu wa Israeli, “na pia yule anayefunika vazi lake kwa ukatili,”* asema Yehova wa majeshi. “Nanyi jilindeni wenyewe kuhusiana na roho yenu, na hampaswi kutenda kwa hila.+

  • Mathayo 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Kwa hiyo, kile ambacho Mungu ameunganisha mtu yeyote asikitenganishe.”+

  • Waefeso 5:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Hata hivyo, kila mtu kati yenu anapaswa kumpenda mke wake+ kama anavyojipenda mwenyewe; kwa upande mwingine, mke anapaswa kumheshimu sana mume wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki