Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 28:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mwenye furaha ni mtu aliye chonjo sikuzote,*

      Lakini yeyote anayeufanya moyo wake kuwa mgumu ataanguka katika msiba.+

  • Luka 22:33, 34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Petro akasema: “Bwana, niko tayari kwenda nawe gerezani na hata kufa nawe.”+ 34 Lakini akamwambia: “Petro ninakuambia, leo kabla jogoo hajawika utanikana mara tatu.”+

  • Wagalatia 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Akina ndugu, hata mtu akichukua hatua isiyofaa kabla hajajua, ninyi mlio na sifa za kustahili kiroho jaribuni kumrekebisha upya mtu huyo kwa roho ya upole.+ Lakini kila mmoja wenu aendelee kujiangalia,+ kwa kuwa ninyi pia mnaweza kujaribiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki