16 “Kwa maana, Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa pekee,+ ili kila mtu anayemwamini* asiangamizwe bali awe na uzima wa milele.+
12 Zaidi ya hayo, hakuna wokovu katika mwingine yeyote, kwa maana hakuna jina lingine+ chini ya mbingu walilopewa wanadamu ambalo kupitia hilo tunaweza kuokolewa.”+