4 Ndiyo maana tunajivunia ninyi+ kati ya makutaniko ya Mungu kwa sababu ya uvumilivu na imani yenu katika mateso yenu yote na taabu mnayopata.+ 5 Huu ni uthibitisho wa hukumu ya uadilifu ya Mungu, inayowaongoza kuhesabiwa kuwa mnastahili Ufalme wa Mungu, ambao kwa kweli mnateseka kwa ajili yake.+