Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Wakiwa huko wakawatia nguvu wanafunzi*+ na kuwatia moyo wabaki katika imani wakisema: “Ni lazima tuingie katika Ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.”+

  • 1 Wakorintho 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana ninaona kwamba Mungu ametuweka sisi mitume mwisho katika wonyesho wa hadharani kama watu waliohukumiwa kifo,+ kwa sababu tumekuwa tamasha kwa ulimwengu,+ na kwa malaika, na kwa wanadamu.

  • 1 Petro 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa kweli, mliitwa kwenye mwendo huu, kwa sababu hata Kristo aliteseka kwa ajili yenu,+ akiwaachia ninyi kielelezo ili mfuate hatua zake kwa ukaribu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki