Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Kwa maana, Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa pekee,+ ili kila mtu anayemwamini* asiangamizwe bali awe na uzima wa milele.+

  • Yohana 6:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba kila mtu anayemtambua Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele,+ nami nitamfufua+ siku ya mwisho.”

  • Yohana 6:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Hakuna mtu anayeweza kuja kwangu isipokuwa Baba aliyenituma amvute,+ nami nitamfufua siku ya mwisho.+

  • 1 Petro 1:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Asifiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo, kwa maana kulingana na rehema yake kubwa alituzaa sisi upya+ kwenye tumaini lililo hai+ kupitia ufufuo wa Yesu Kristo kutoka kwa wafu,+ 4 kwenye urithi usioharibika na usio na unajisi na usiofifia.+ Urithi huo umewekwa akiba mbinguni kwa ajili yenu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki