Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 25:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Atameza* kifo milele,+

      Na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atafuta kabisa machozi katika nyuso zote.+

      Shutuma ya watu wake ataiondoa katika dunia yote,

      Kwa maana Yehova mwenyewe amesema hayo.

  • Waroma 8:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana uumbaji ulitiishwa chini ya ubatili,+ si kwa mapenzi yake wenyewe bali kupitia yule aliyeutiisha, kwa msingi wa tumaini 21 kwamba uumbaji wenyewe pia utawekwa huru+ kutoka katika utumwa wa uharibifu na kuwa na uhuru wenye utukufu wa watoto wa Mungu.

  • 1 Wakorintho 15:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na adui wa mwisho atakayeangamizwa ni kifo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki