Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Timotheo—Yaliyomo

      • Onyo dhidi ya mafundisho ya roho waovu (1-5)

      • Jinsi ya kuwa mhudumu mzuri wa Kristo (6-10)

        • Tofauti kati ya mazoezi ya kimwili na ujitoaji-kimungu (8)

      • Angalia kufundisha kwako (11-16)

1 Timotheo 4:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “roho inasema.”

  • *

    Tnn., “roho wadanganyifu.”

Marejeo

  • +2Th 2:1, 2; 2Ti 4:3, 4; 2Pe 2:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2006, kur. 23-24

    7/1/1994, kur. 9-10

    5/15/1994, kur. 15-20

    4/1/1994, kur. 9-14

    Mwabudu Mungu, kur. 72-73

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 11/15 23-24; wt 72-73

1 Timotheo 4:2

Marejeo

  • +Mdo 20:29, 30; 2Ti 2:16; 2Pe 2:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 501-502

    Ufahamu, uku. 311

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, kur. 23-24

    “Upendo wa Mungu,” uku. 22

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2006, kur. 23-24

  • Fahirishi ya Machapisho

    lv 22; w06 11/15 23-24

1 Timotheo 4:3

Marejeo

  • +1Ko 7:36; 9:5
  • +Ro 14:3
  • +Mwa 9:3
  • +Ro 14:17; 1Ko 10:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1996, kur. 6-7

    12/15/1990, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 7/1 6-7

1 Timotheo 4:4

Marejeo

  • +Mwa 1:31
  • +Mdo 10:15

1 Timotheo 4:6

Marejeo

  • +2Ti 2:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 54

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2009, kur. 16-17

    Huduma ya Ufalme,

    1/2005, uku. 1

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 5/15 16-17; km 1/05 1

1 Timotheo 4:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Ti 6:20; Tit 1:13, 14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2020, uku. 28

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2018, uku. 14

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/1994, uku. 29

1 Timotheo 4:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Yoh 17:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    Na. 1 2020 uku. 11

    5/22/2005, uku. 11

    1/22/1993, uku. 25

    Ufahamu, uku. 972

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2001, uku. 5

    1/1/1997, uku. 5

    9/1/1994, kur. 29-31

    6/15/1994, kur. 18-19

    12/1/1990, kur. 6-7

  • Fahirishi ya Machapisho

    g05 5/22 11; w01 2/1 5; w97 1/1 5

1 Timotheo 4:10

Marejeo

  • +Lu 13:24
  • +Yud 25
  • +1Ti 2:3, 4

1 Timotheo 4:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2018, uku. 13

1 Timotheo 4:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mistari ya Biblia Yafafanuliwa, makala 24

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2022, kur. 4-9

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2018, kur. 11-12

    4/2018, uku. 13

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2015, uku. 15

    12/15/2009, kur. 12-15

    9/15/1999, uku. 31

    Huduma ya Ufalme,

    9/1996, uku. 1

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 12/15 12-15; w99 9/15 31; km 9/96 1

1 Timotheo 4:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kutia moyo.”

Marejeo

  • +Kol 4:16; 1Th 5:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2021, kur. 24-25

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2011, kur. 18-19

    3/15/1999, uku. 20

    Shule ya Huduma, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 6/15 18-19; be 26; w99 3/15 20

1 Timotheo 4:14

Marejeo

  • +Mdo 6:5, 6; 13:2, 3; 19:6; 2Ti 1:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Ushahidi, uku. 121

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2015, uku. 14

    12/15/2009, uku. 11

    9/15/2008, uku. 30

    9/15/1999, uku. 29

    2/15/1998, uku. 25

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 12/15 11; bt 121; w08 9/15 30; w99 9/15 29; w98 2/15 25

1 Timotheo 4:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Fikiria kwa makini.”

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2009, kur. 11-12

    10/1/2007, uku. 21

    8/1/2001, kur. 12-17

    8/1/1992, kur. 11-12

    8/15/1987, kur. 15-20

    Shule ya Huduma, kur. 74-77

    Amkeni!,

    3/22/1998, uku. 22

    Huduma ya Ufalme,

    12/1995, uku. 2

    “Kila Andiko,” uku. 236

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 12/15 11-12; w07 10/1 21; be 74-77; w01 8/1 12-17; g98 3/22 22

1 Timotheo 4:16

Marejeo

  • +2Ti 4:2
  • +1Ko 9:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2021, uku. 24

    Furahia Maisha Milele!, somo la 21

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2016, uku. 23

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2000, kur. 14-19

    3/15/1999, kur. 10-15

    2/15/1998, kur. 25-26

    7/15/1988, kur. 15-20

    “Kila Andiko,” uku. 236

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 6/1 14-19; w99 3/15 10-15; w98 2/15 25-26

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Tim. 4:12Th 2:1, 2; 2Ti 4:3, 4; 2Pe 2:1
1 Tim. 4:2Mdo 20:29, 30; 2Ti 2:16; 2Pe 2:3
1 Tim. 4:31Ko 7:36; 9:5
1 Tim. 4:3Ro 14:3
1 Tim. 4:3Mwa 9:3
1 Tim. 4:3Ro 14:17; 1Ko 10:25
1 Tim. 4:4Mwa 1:31
1 Tim. 4:4Mdo 10:15
1 Tim. 4:62Ti 2:15
1 Tim. 4:71Ti 6:20; Tit 1:13, 14
1 Tim. 4:8Yoh 17:3
1 Tim. 4:10Lu 13:24
1 Tim. 4:10Yud 25
1 Tim. 4:101Ti 2:3, 4
1 Tim. 4:13Kol 4:16; 1Th 5:27
1 Tim. 4:14Mdo 6:5, 6; 13:2, 3; 19:6; 2Ti 1:6
1 Tim. 4:162Ti 4:2
1 Tim. 4:161Ko 9:22
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Timotheo 4:1-16

Barua ya Kwanza kwa Timotheo

4 Hata hivyo, neno lililoongozwa na roho linasema* wazi kwamba wakati ujao watu fulani wataiacha imani, wakisikiliza maneno ya uwongo yaliyoongozwa na roho waovu*+ na mafundisho ya roho waovu, 2 kupitia unafiki wa watu wanaosema uwongo,+ ambao dhamiri zao zimetiwa alama kama kwa chuma cha moto. 3 Wanakataza watu kufunga ndoa+ na kuwaamuru wasile vyakula+ ambavyo Mungu aliumba viliwe+ kwa shukrani na watu wenye imani+ na wanaoijua kweli kwa usahihi. 4 Kwa sababu kila kiumbe cha Mungu ni kizuri,+ na hakuna kitu kinachopaswa kukataliwa+ ikiwa kinapokewa kwa shukrani, 5 kwa maana kinatakaswa kupitia neno la Mungu na kutolewa sala.

6 Ukiwapa akina ndugu mashauri haya utakuwa mhudumu mzuri wa Kristo Yesu, aliyelishwa maneno ya imani na fundisho bora ambalo umefuata kwa makini.+ 7 Lakini kataa hadithi za uwongo zisizo na heshima,+ kama zile zinazosimuliwa na wanawake wazee. Badala yake, endelea kujizoeza ukiwa na lengo la ujitoaji-kimungu.* 8 Kwa maana mazoezi ya kimwili ni yenye faida kidogo, lakini ujitoaji-kimungu* una faida katika mambo yote, kwa kuwa una ahadi ya uhai wa sasa na ule utakaokuja.+ 9 Maneno hayo ni yenye kutegemeka na yanastahili kukubaliwa kabisa. 10 Hiyo ndiyo sababu tunafanya kazi kwa bidii na kujitahidi,+ kwa sababu tumemtumaini Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi+ wa watu wa namna zote,+ hasa wa walio waaminifu.

11 Endelea kutoa amri hizi na kuzifundisha. 12 Usiruhusu kamwe mtu yeyote audharau ujana wako. Badala yake, uwe mfano mzuri kwa waaminifu katika kusema, katika mwenendo, katika upendo, katika imani, na katika usafi wa kiadili. 13 Mpaka nitakapokuja, endelea kujitahidi kusoma mbele ya watu,+ kuhimiza,* na kufundisha. 14 Usipuuze zawadi uliyo nayo uliyopokea kupitia unabii, baraza la wazee lilipoweka mikono juu yako.+ 15 Tafakari* mambo haya; zama katika hayo, ili maendeleo yako yaonekane wazi kwa watu wote. 16 Jiangalie daima wewe mwenyewe na kufundisha kwako.+ Endelea kufanya mambo haya, kwa maana ukifanya hivyo utajiokoa wewe mwenyewe na wale wanaokusikiliza pia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki