Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 14
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Daudi aimarishwa kuwa mfalme (1, 2)

      • Familia ya Daudi (3-7)

      • Wafilisti washindwa (8-17)

1 Mambo ya Nyakati 14:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wajenzi wa kuta.”

  • *

    Au “jumba la mfalme.”

Marejeo

  • +1Fa 5:6, 8
  • +2Sa 5:11, 12

1 Mambo ya Nyakati 14:2

Marejeo

  • +Zb 89:20, 21
  • +2Sa 7:8

1 Mambo ya Nyakati 14:3

Marejeo

  • +Kum 17:17
  • +2Sa 5:13-16

1 Mambo ya Nyakati 14:4

Marejeo

  • +1Nya 3:5-9
  • +Lu 3:23, 31
  • +1Fa 1:47; Mt 1:6

1 Mambo ya Nyakati 14:8

Marejeo

  • +1Nya 11:3
  • +2Sa 5:17; Zb 2:2

1 Mambo ya Nyakati 14:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nchi Tambarare ya Chini ya.”

Marejeo

  • +2Sa 5:18, 22; 23:13

1 Mambo ya Nyakati 14:10

Marejeo

  • +2Sa 5:19-21

1 Mambo ya Nyakati 14:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Bwana Anayepasua na Kupita.”

Marejeo

  • +Isa 28:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1991, kur. 20-21

1 Mambo ya Nyakati 14:12

Marejeo

  • +Kum 7:25

1 Mambo ya Nyakati 14:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwenye nchi tambarare ya chini.”

Marejeo

  • +2Sa 5:22-25

1 Mambo ya Nyakati 14:14

Marejeo

  • +Yos 8:2; Zb 18:34

1 Mambo ya Nyakati 14:15

Marejeo

  • +Kum 23:14; Amu 4:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1991, uku. 21

1 Mambo ya Nyakati 14:16

Marejeo

  • +Mwa 6:22; Kut 39:32
  • +Yos 16:10

1 Mambo ya Nyakati 14:17

Marejeo

  • +Kum 2:25; 11:25; Yos 2:9

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 14:11Fa 5:6, 8
1 Nya. 14:12Sa 5:11, 12
1 Nya. 14:2Zb 89:20, 21
1 Nya. 14:22Sa 7:8
1 Nya. 14:3Kum 17:17
1 Nya. 14:32Sa 5:13-16
1 Nya. 14:41Nya 3:5-9
1 Nya. 14:4Lu 3:23, 31
1 Nya. 14:41Fa 1:47; Mt 1:6
1 Nya. 14:81Nya 11:3
1 Nya. 14:82Sa 5:17; Zb 2:2
1 Nya. 14:92Sa 5:18, 22; 23:13
1 Nya. 14:102Sa 5:19-21
1 Nya. 14:11Isa 28:21
1 Nya. 14:12Kum 7:25
1 Nya. 14:132Sa 5:22-25
1 Nya. 14:14Yos 8:2; Zb 18:34
1 Nya. 14:15Kum 23:14; Amu 4:14
1 Nya. 14:16Mwa 6:22; Kut 39:32
1 Nya. 14:16Yos 16:10
1 Nya. 14:17Kum 2:25; 11:25; Yos 2:9
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 14:1-17

Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

14 Mfalme Hiramu+ wa Tiro aliwatuma wajumbe kwa Daudi, pamoja na mbao za mierezi, waashi,* na maseremala ili wamjengee Daudi nyumba.*+ 2 Na Daudi alijua kwamba Yehova alikuwa amemwimarisha kabisa kuwa mfalme wa Israeli,+ kwa maana ufalme wake ulikuwa umekwezwa sana kwa ajili ya watu Wake Waisraeli.+

3 Daudi alichukua wake+ zaidi huko Yerusalemu, na Daudi akazaa wana na mabinti zaidi.+ 4 Haya ndiyo majina ya watoto wake waliozaliwa Yerusalemu:+ Shamua, Shobabu, Nathani,+ Sulemani,+ 5 Ibhari, Elishua, Elpeleti, 6 Noga, Nefegi, Yafia, 7 Elishama, Beeliada, na Elifeleti.

8 Wafilisti waliposikia kwamba Daudi alikuwa ametiwa mafuta kuwa mfalme wa Waisraeli wote,+ Wafilisti wote wakapanda kuja kumtafuta Daudi.+ Daudi aliposikia jambo hilo, akaenda kukabiliana nao. 9 Kisha Wafilisti wakaja na kuvamia tena na tena katika Bonde la* Refaimu.+ 10 Daudi akamuuliza Mungu: “Je, nipande kwenda kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia: “Panda uende, nami hakika nitawatia mikononi mwako.”+ 11 Basi Daudi akapanda kwenda Baal-perasimu,+ naye akawaua huko. Ndipo Daudi akasema: “Mungu wa kweli amewapasua na kuwapita maadui wangu kwa mkono wangu, kama ufa uliopasuliwa na maji.” Ndiyo sababu walipaita mahali hapo Baal-perasimu.* 12 Wafilisti wakaacha miungu yao hapo, na Daudi alipotoa amri, miungu hiyo iliteketezwa motoni.+

13 Baadaye Wafilisti wakaja tena na kuvamia bondeni.*+ 14 Daudi akamwomba Mungu ushauri tena, lakini Mungu wa kweli akamwambia: “Usipande moja kwa moja na kuwafuatia. Badala yake, zunguka nyuma yao, uwashambulie mbele ya vichaka vya mibaka.+ 15 Na utakaposikia sauti ya watu wakipiga mwendo juu ya vichaka vya mibaka, washambulie, kwa sababu mimi Mungu wa kweli nitakuwa nimetangulia mbele yako ili kuliua jeshi la Wafilisti.”+ 16 Basi Daudi akafanya kama Mungu wa kweli alivyomwamuru,+ wakaliua jeshi la Wafilisti kuanzia Gibeoni mpaka Gezeri.+ 17 Umaarufu wa Daudi ukaenea katika nchi zote, na Yehova akayafanya mataifa yote yamwogope Daudi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki