Zaburi
Wimbo wa Safari za Kupanda.
2 Kama milima inavyozunguka Yerusalemu,+
Ndivyo Yehova anavyowazunguka watu wake+
Kuanzia sasa mpaka milele.
5 Lakini wale wanaogeuka na kufuata njia zao zilizopotoka,
Yehova atawaondoa pamoja na watenda maovu.+
Amani na iwe juu ya Israeli.