Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Malaika wa Yehova hupiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa Yeye,+

      Naye huwaokoa.+

  • Isaya 31:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kama ndege wanaoshuka kwa ghafla, ndivyo Yehova wa majeshi atakavyolilinda Yerusalemu.+

      Atalilinda na kuliokoa.

      Atalihifadhi na kuliokoa.”

  • Zekaria 2:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha akamwambia: “Kimbia ukamwambie yule kijana, ‘“Yerusalemu litakaliwa+ kama eneo la mashambani lililo wazi,* kwa sababu ya watu wengi na mifugo mingi iliyomo.+ 5 Nitakuwa ukuta wa moto kulizunguka pande zote,”+ asema Yehova, “nami nitakuwa utukufu ndani yake.”’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki