Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Yehu amkemea Yehoshafati (1-3)

      • Mabadiliko yaliyofanywa na Yehoshafati (4-11)

2 Mambo ya Nyakati 19:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jumba lake la kifalme.”

Marejeo

  • +2Nya 18:31, 32

2 Mambo ya Nyakati 19:2

Marejeo

  • +1Fa 16:1
  • +2Nya 16:7
  • +1Fa 21:25
  • +Zb 139:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2021, uku. 3

2 Mambo ya Nyakati 19:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

  • *

    Au “na moyo wako umeazimia.”

Marejeo

  • +1Fa 14:1, 13
  • +2Nya 17:3-6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, uku. 245

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2015, kur. 11-12

    12/1/2005, uku. 20

    7/1/2003, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 21; w03 7/1 17; cl 245

2 Mambo ya Nyakati 19:4

Marejeo

  • +Yos 17:14, 15
  • +2Nya 15:8

2 Mambo ya Nyakati 19:5

Marejeo

  • +Kum 16:18

2 Mambo ya Nyakati 19:6

Marejeo

  • +Kum 1:16, 17; Zb 82:1

2 Mambo ya Nyakati 19:7

Marejeo

  • +Kut 18:21
  • +Mwa 18:25; Kum 32:4
  • +Mdo 10:34; Ro 2:11; 1Pe 1:17
  • +Kum 10:17; 16:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/2011, uku. 28

    10/1/1986, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 8/1 28

2 Mambo ya Nyakati 19:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

Marejeo

  • +Kum 17:9; 21:5; 25:1

2 Mambo ya Nyakati 19:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “moyo wenye ujitoaji kamili.”

2 Mambo ya Nyakati 19:10

Marejeo

  • +Kum 17:8

2 Mambo ya Nyakati 19:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “awe na kilicho chema.”

Marejeo

  • +Mal 2:7
  • +2Nya 15:2

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 19:12Nya 18:31, 32
2 Nya. 19:21Fa 16:1
2 Nya. 19:22Nya 16:7
2 Nya. 19:21Fa 21:25
2 Nya. 19:2Zb 139:21
2 Nya. 19:31Fa 14:1, 13
2 Nya. 19:32Nya 17:3-6
2 Nya. 19:4Yos 17:14, 15
2 Nya. 19:42Nya 15:8
2 Nya. 19:5Kum 16:18
2 Nya. 19:6Kum 1:16, 17; Zb 82:1
2 Nya. 19:7Kut 18:21
2 Nya. 19:7Mwa 18:25; Kum 32:4
2 Nya. 19:7Mdo 10:34; Ro 2:11; 1Pe 1:17
2 Nya. 19:7Kum 10:17; 16:19
2 Nya. 19:8Kum 17:9; 21:5; 25:1
2 Nya. 19:10Kum 17:8
2 Nya. 19:11Mal 2:7
2 Nya. 19:112Nya 15:2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 19:1-11

Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati

19 Kisha Mfalme Yehoshafati wa Yuda akarudi salama salimini+ katika nyumba yake* huko Yerusalemu. 2 Yehu+ mwana wa mwonaji Hanani+ alienda kukutana na Mfalme Yehoshafati na kumuuliza: “Je, unapaswa kuwasaidia waovu,+ na je, unapaswa kuwapenda wale wanaomchukia Yehova?+ Kwa sababu hiyo ghadhabu ya Yehova iko dhidi yako. 3 Hata hivyo, kuna mambo mema ambayo yamepatikana ndani yako,+ kwa sababu uliiondoa kabisa miti mitakatifu* nchini, nawe umeutayarisha moyo wako* kumtafuta Mungu wa kweli.”+

4 Yehoshafati akaendelea kuishi Yerusalemu, naye akatoka tena na kwenda kukutana na watu kuanzia Beer-sheba mpaka kwenye eneo lenye milima la Efraimu,+ ili awarudishe kwa Yehova Mungu wa mababu zao.+ 5 Pia, aliwaweka waamuzi katika nchi yote, katika majiji yote ya Yuda yenye ngome, jiji baada ya jiji.+ 6 Akawaambia hivi waamuzi: “Iweni waangalifu kuhusu mambo mnayotenda, kwa maana hamhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Yehova, naye yupo pamoja nanyi mnapotoa hukumu.+ 7 Basi hofu ya Yehova na iwe juu yenu.+ Iweni waangalifu kuhusu mambo mnayotenda, kwa maana Yehova Mungu wetu hana ukosefu wa haki,+ hana ubaguzi,+ wala hapokei rushwa.”+

8 Pia huko Yerusalemu, Yehoshafati aliwaweka baadhi ya Walawi na makuhani na baadhi ya viongozi wa koo* za Waisraeli watumikie wakiwa waamuzi kwa ajili ya Yehova na kusuluhisha kesi za wakaaji wa Yerusalemu.+ 9 Akawaamuru: “Hivi ndivyo mnavyopaswa kufanya huku mkimwogopa Yehova, kwa uaminifu na kwa moyo kamili:* 10 Kila mara ndugu zenu wanaoishi katika majiji yao wakiwaletea kesi inayohusu umwagaji wa damu+ au swali kuhusu sheria fulani, amri, masharti, au maamuzi, mnapaswa kuwaonya ili wasiwe na hatia mbele za Yehova; msipofanya hivyo ghadhabu yake itakuja dhidi yenu na dhidi ya ndugu zenu. Hivyo ndivyo mnavyopaswa kufanya ili msiwe na hatia. 11 Ndiye huyu Amaria mkuu wa makuhani anayewasimamia katika kila jambo linalomhusu Yehova.+ Zebadia mwana wa Ishmaeli ndiye kiongozi wa ukoo wa Yuda katika kila jambo linalomhusu mfalme. Na Walawi watatumikia wakiwa maofisa wenu. Iweni imara, na mtende, na Yehova awe pamoja na wale wanaotenda mema.”*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki